22 - 13. Kurudi Kwa Yesus
13. Kurudi Kwa Yesu
Yesu sasa yuko mbinguni lakini atarudi duniani (Matendo 1:10,11; 3:20-21; Yohana 14:2,3). Atakapokuja, atawatuza waumini kulingana na maisha waliyoishi (Mathayo 16:27, Ufunuo 22:12). Jambo la kwanza atakalofanya ni kuwafufua wafu na kuwahukumu (1 Wathesalonike 4:16; 2 Timotheo 4:1).