Sura 24. Mtazamo wa Ulimwengu - Mateso
Sura 24. Mtazamo wa Ulimwengu - Mateso[1]
Sura ya 22. Mtazamo wa ulimwengu - kwa muda mfupi?
![Mtazamo wa ulimwengu - kwa muda mfupi](/sites/default/files/inline-images/Book%20Chapter%20Header%201_18.jpg)
Sura ya 22. Mtazamo wa ulimwengu - kwa muda mfupi?[1]
25. Kukua katika Kristo: Masomo 1-5
Kukua katika Kristo: Masomo 1-5
Kozi hii imekusudiwa kuwasaidia wapya waliobatizwa kukua katika imani, ili wakue zaidi kama Yesu. Hivi ndivyo mwanafunzi wa Yesu anapaswa kufanya. Ubatizo ni mwanzo wa safari, hivyo inafaa kuendelea kujifunza.
24. Mada ya Habari: Sheria ya Musa na Mkristo leo
Mada ya Habari: Sheria ya Musa na Mkristo leo
Israeli walipokuwa watu wa Mungu, Mungu alifanya agano nao. Mungu angewatunza kama wangetii amri zake (Kutoka 19:4-8). Pia alitoa maagizo ya jinsi ya kutengeneza hema la kukutania, jinsi ya kuweka kazi za makuhani na jinsi ya kutekeleza dhabihu mbalimbali. Kwa pamoja sheria hizi zinajulikana kama "Sheria ya Musa". Ni mapatano ya agano kati ya Mungu na Waisraeli.
23 - 14. Mwanafunzi wa Yesu
14. Mwanafunzi wa Yesu
Wale wanaotaka kufaidika na kazi ya kuokoa ya Yesu wanatakiwa kumfuata Yesu na kuishi kama wanafunzi wake. Hii ni pamoja na kile kinachofafanuliwa katika Matendo 2:42 , ambapo tunasoma kwamba wanafunzi waliendelea katika “mafundisho ya mitume na ushirika, na kuumega mkate, na kwa kusali."
22 - 13. Kurudi Kwa Yesus
13. Kurudi Kwa Yesu
Yesu sasa yuko mbinguni lakini atarudi duniani (Matendo 1:10,11; 3:20-21; Yohana 14:2,3). Atakapokuja, atawatuza waumini kulingana na maisha waliyoishi (Mathayo 16:27, Ufunuo 22:12). Jambo la kwanza atakalofanya ni kuwafufua wafu na kuwahukumu (1 Wathesalonike 4:16; 2 Timotheo 4:1).
21 - 12. Kuzaliwa, maisha, kifo na ufufuo wa Yesu
12. Kuzaliwa, maisha, kifo na ufufuo wa Yesu
Yesu Kristo ndiye sehemu muhimu zaidi ya uumbaji wa Mungu. Yeye ndiye kitovu cha Mpango wa Mungu. Mungu alimpanga Yesu tangu mwanzo, kama vile mbunifu anavyopanga mji (Waebrania 11:10).