CSSA 1-2-19 - A KING FOR ISRAEL
44. MFALME KWA ISRAELI
"Mwoneni Mfalme ambaye mmemchagua"
Shabaha
Kuonyesha jinsi Waisraeli walivyotaka mfalme ili kuwa sawa na watu wa mataifa waliowazunguka badala ya kuwa na Mungu tu wa kuwatawala.
Muhtasari
44. MFALME KWA ISRAELI
"Mwoneni Mfalme ambaye mmemchagua"
Shabaha
Kuonyesha jinsi Waisraeli walivyotaka mfalme ili kuwa sawa na watu wa mataifa waliowazunguka badala ya kuwa na Mungu tu wa kuwatawala.
Muhtasari
43. SAMWELI
“Nena, BWANA, kwa kuwa mtumishi wako anasikia”
Shabaha
Kuonyesha kwamba Mungu hufurahishwa na watoto waaminifu na watiifu, lakini atawaadhibu wale wanaolidhalilisha Jina lake.
Muhtasari
42. RUTHU
“Watu wako watakuwa watu wangu na Mungu wako atakuwaMungu wangu.”
Shabaha
Kuonyesha kwamba Mungu atawabariki wanofanya kazi kwa uaminifu.
Muhtasari
41. SAMSONI
Ataanza kuwaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wafilisti.
Shabaha.
Kuonyesha kwamba nguvu za samsoni zilitoka kwa Mungu.
Muhtasari:
“Upanga wa BWANA na wa Gidion”
Lengo:
Kuonyesha kuwa Mungu wakati wote aliwatunza wana wa Israeli. Walipomgeukia Mungu aliwapatia viongozi kuwaongoza Muhtasari (Ufupisho)
39. DEBORA NA BARAKA.
Kikainuka kizazi kingine nyuma yake ambacho hakikumjua BWANA.
Shabaha.
Kuonyesha kwamba matatizo yaliyowapata wanawa Isaraeli nyakati za waamuzi siyo tofauti na matatizo yanayotupata leo.
Muhtasari.
Ingawaje Waisraeli waliendelea kutokuwa waaminifu na watiifu, hata hivyo Mungu aliendelea kuwa mwenye rehema na kuwasamehe. Walipokuwa katika taabu na wakamgeukia Yeye, aliwaokoa mikononi mwa adui zao.
Waamuzi 2,4 na 5
38. YOSHUA ANAFARIKI
"Lakini mimi na nyuma yangu tutamtumikia BWANA"
Shabaha
Kuonyesha jinsi Yoshua kwa uaminifu aliwahimiza watu wamtumikie Mungu,lakini baada ya kufariki kwake watu walisahau kielelezo alichowachia na wakageukia kuziabudu sanamu.
Muhtasari
37. YOSHUA ANAELEKEA KASKAZINI.
"Nayo nchi ikatulia isiwe na vita tena.
Shabaha
Kuonyesha kwamba tunapaswa kuwa na bidii katika kutii amri ya Mungu kama tunatamani kuingia katika ufalme .
Muhtasari
Kama vile Mungu alivyowaongoza salama Waisraeli walipokuwa na Musa jangwani,na vivyo hivyo Mungu sasa alivyokuwaakiwaongoza kwenda Nchi ya Ahadi wakiwa na kiongozi wao Yoshua.
36. YOSHUA ANASHINDA MIJI YA KUSINI
"BWANA akampigania Israeli".
Shabaha
Kuonyesha jinsi Yoshua alivyofanikiwa kushinda miji ya kusini pale alipomwomba Mungu amwongoze.
Muhtasari
Yeriko ulipotwaliwa na kuharibiwa ;watu wa Kanaani waliamini kuwa Yoshua na jeshi lote la Israeli watawavamia na kuwaharibu wao pia. Wafalme watano wa kusini waliamua kuungana pamoja kupigana na Israeli, isipokuwa Gibeoni walifanya shauri jema.
"Ukuta ukaanguka chini kabisa"
Shabaha:
Kuonyesha kwamba Israeli walikuwa na sababu za kuuteka Yeriko kwa sababu waliyaamini yale Mungu aliyosema na walitii amri zake.
Muhtasari:
Watu wa Kaanani walisikia jinsi Mungu wa Israeli alivyotengeneza njia kavu kwa ajili yao kuvuka mto Yordani na "mioyo yao ikayeyuka wala haikuwamo roho ya nguvu ndani yao tena, kwa sababu ya wana wa Israeli". (Yoshua 5).