CSSA 1-3-04 - THE GLORY OF SOLOMON
54. UTUKUFU WA SULEMANI:
“Sulemani aliwazidi wafalme wote duniani kwa utajiri na hekima”
Shabaha
Kunyesha jinsi umaarufu wa Sulemani ulivyoenea katika nchi zote za Mungu kusifika. Sulemani alipomwomba Mungu kwa ajili ya hekima ,Mungu alimwahidia siyo hekima pekee bali hata utajiri na heshima pia, “ hivi kwamba hakutakuwepo yoyote kati ya wafalme kama wewe, katika siku zako zote” (1Wafalme 3:13).