CSSA 1-3-14 - HEZEKIAH - JUDAH'S GREATEST KING
64. HEZEKIA-MFALME MKUU WA YUDA
''Enyi wana wa Israeli,mrudieni BWANA''
Shabaha
64. HEZEKIA-MFALME MKUU WA YUDA
''Enyi wana wa Israeli,mrudieni BWANA''
Shabaha
v\:* {behavior:url(#default#VML);} o\:* {behavior:url(#default#VML);} w\:* {behavior:url(#default#VML);} .shape {behavior:url(#default#VML);}
62. HUKUMU KATIKA NYUMBA YA AHABU
''Lakini hapakuwa na mtu kama Ahabu, aliyejiuza atende maovu, ambaye Yezebeli mkewe alimchochea''
Shabaha
61. NAAMANI MTU MWENYE UKOMA
''Na sasa ninajua kwamba hapana Mungu duniani, ila Mungu wa Israeli''
Shabaha
Kuonyesha jinsi Elisha alivyompanya Naamani mtu wa Shamu, ugonjwa wa ukoma, na ni kwa nini Gehazi, mtumishi wa Elisha alipigwa kwa ukoma.
60. ELISHA NA MWANAMKE WA SHUNEMU
''Panapo wakati huu mwakani ,utamkumbatia mwana''
Shabaha
59. ELISHA ANAENDELEZA KAZI YA MUNGU
''Roho ya Eliya iko juu ya Elisha''
Shabaha
Kuonyesha jinsi Elisha alivyotiwa mfuta ili kuendeleza kazi ya kuongoza watu wa Mungu wa Israeli na Eliya akatwaliwa.
58. ELIYA NA SAUTI NDOGO YA UTULIVU
“Sauti ikamjia, kusema, Unafanya nini hapa, Eliya?”
Shabaha
Kuonyesha namna Eliya alivyojifunza kutokana na sauti ndogo ya utulivu kwamba Mungu bado alikuwa na kazi ya kufanya katika Israeli. Huko katika mlima wa Karmeli, Mungu alikuwa amewaonyesha Waisraeli kwa njia ya ajabu kwamba yeye ndiye alikuwa Mungu wa kweli na ya kwamba hakuna Mungu mwingine. Kwa hakika sasa wangemtumikia Mungu na kuzishika amri zake.
57. MASHINDANO KATIKA MLIMA KARMELI
“BWANA akiwa ndiye Mungu, mfuateni; bali ikiwa Baali ni mungu, mfuateni yeye”
Shabaha
Kuonyesha namna Mungu alivyothibitisha kwa watu mlimani Karmeli kwamba yeye ndiye alikuwa Mungu wa kweli na aliye hai. Ukame uliendelea katika Israeli kwa muda wa miaka mitatu na nusu (Luka 4:25) Nchi ilikuwa kame na ilikuwa imekauka kabisa.
56. NABII ELIYA
“Hakutakuwa na umande wala mvua miaka hii, mpaka kwa neno langu”
Shabaha
Kuonyesha jinsi Mungu alivyoleta ukame juu ya nchi lakini akamtunza Eliya na kumbariki mwanamke mjane wa Sarepta kwa ajili ya wema wake kwa Eliya. Ufamle wa kaskazini wa Israeli ulianza vibaya sana. Kama tulivyoona, kitu cha kwanza ambacho Yeroboamu alifanya kilikuwa kubadili ibada ya kweli ya Mungu kwa kuabudu miungu (sanamu). Alipoondoka Mfalme mwovu mwingine Mfalme mwovu aliifuata.
55. UFALME UNAGAWANYIKA
“Kwa hakika nitaurarua ufalme kutoka kwako, nami nitampa mtumishi wako”
Shabaha