CSSA 1-2-06 - THE NEW LEADER

31. KIONGOZI MPYA

"Uwe hodari na moyo wa ushujaa kama nilivyokuwa pamoja na Musa ndivyo

nitakavyokuwa pamoja nawe"

 

Shabaha:

Ni kuonyesha jinsi kazi ya Musa ilivyokwisha; na mwingine mwenye busara na mwaminifu,Yoshua alivyochaguliwa kuendeleza na kuongoza wana wa Israeli kuingia Nchi ya Ahadi.

 

Muhtasari:

CSSA 1-2-05 - MOSES

30. MUSA

"Jicho lake halikupofuka,wala nguvu zake mwilini hazikupunguka"

 

Shabaha

Kuonyesha kuwa hatupaswi kuhuzunika wala kulalamika bali tuwe na shukrani kwa baraka tunazopewa na Mungu.

Mungu anataka tumtii na tuwe na imani na tumtumaini.

 

Muhtasari