CSSA 1-2-08 - ISRAEL CROSSES JORDAN
33. ISRAELI WANAVUKA YORDANI:
"Nini maana ya Mawe hayo"?.
Shabaha:
Ni kuonyesha kwamba Wana wa Israeli kwa kutii amri za Mungu walivuka mto
Yordani salama.
Muhtasari:
"Nini maana ya Mawe hayo"?.
Shabaha:
Ni kuonyesha kwamba Wana wa Israeli kwa kutii amri za Mungu walivuka mto
Yordani salama.
Muhtasari:
Shabaha:
Ni kuonyesha jinsi Mungu anavyowalinda wale wanaomtii na kumwamini.
Muhtasari:
"Uwe hodari na moyo wa ushujaa kama nilivyokuwa pamoja na Musa ndivyo
nitakavyokuwa pamoja nawe"
Shabaha:
Ni kuonyesha jinsi kazi ya Musa ilivyokwisha; na mwingine mwenye busara na mwaminifu,Yoshua alivyochaguliwa kuendeleza na kuongoza wana wa Israeli kuingia Nchi ya Ahadi.
Muhtasari:
"Jicho lake halikupofuka,wala nguvu zake mwilini hazikupunguka"
Shabaha
Kuonyesha kuwa hatupaswi kuhuzunika wala kulalamika bali tuwe na shukrani kwa baraka tunazopewa na Mungu.
Mungu anataka tumtii na tuwe na imani na tumtumaini.
Muhtasari