CSSA 1-4-09 - JESUS TEACHES HIS DISCIPLES
84. YESU ANAFUNDISHA WANAFUNZI WAKE
“Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake”
Shabaha
84. YESU ANAFUNDISHA WANAFUNZI WAKE
“Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake”
Shabaha
83. YESU HUKO KAPERNAUMU
“Nayo sifa yake ikaenea kila mahali katika nchi iliyozunguka”
Shabaha
Kuonyesha jinsi Yesu alivyowaponya watu wengi huko Kapernaumu na sifa yake ikaenea sana hata sehemu za mbali zaidi.
82. YESU ANAKATALIWA NAZARETHI
“Roho wa Bwana juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema”
Shabaha
81. MWANA WA DIWANI
“Na mtu yule akaaamini neno ambalo Yesu alimwambia , naye akaenda zake”
Shabaha
80. NIKODEMO, AMBAYE NI FARISAYO ANAKUJA KWA YESU
“Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona Ufalme wa Mungu”
Shabaha
Ni kuonyesha jinsi Yesu alivyolitakasa hekalu na kumfundisha Nikodemu njia ya wokovu.
79. ARUSI YA KANA
“Mwanzo huu wa miujiza, Yesu alioufanya huko Kana ya Galilaya; na akaudhihirisha utukufu wake, nao wanafunzi wake wakamwamini”.
Shabaha
Ni kuonyesha namna Yesu kwa mara ya kwanza alivyoonyesha uwezo wake katika mwuujiza wa kugeuza maji kuwa divai.
78. YESU ANAWAITA WAFUASI WAKE
“Wakaacha vyote na kumfuata yeye”
Shabaha
77. YESU ANAJARIBIWA JANGWANI
”Kwa maana,mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu”
Kusudi
76. YESU ANABATIZWA NA YOHANA
“Kubali hivi sasa,kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote".
Shabaha
75. MASIHI ANAZALIWA
“Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume”
Shabaha
Kuonyesha jinsi Mungu alivyofanya kuzaliwa kwa Mwana wake kuwekwa mhimu sana na watuwengi wakafurahi wakati alipozaliwa, ingawa maadui zake walitaka kumwua.