CSSA 2-3-05 - THE TEMPLE OF SOLOMON

180. HEKALU LA SULEMANI

“Nyumba ninayojenga ni kuu, kwani ni Mkuu Mungu wetu kupita miungu yote”

Daudi mfalme wa Israeli mkuu (kuliko wote), alikuwa ametamani kujenga Hekalu kwa jina la Yahwe. Lakini Mungu hakumruhusu Daudi; na hiyo ikawa ni heshima ya Sulemani, ambaye jina lake linamaanisha amani na ambaye enzi ya ufalme wake ilijulikana kwa amani, ili ajenge jumba lile tukufu ambalxdwake. Na mara amani ilipopatikana akaanza kazi ya maandalizi ya kujenga Hekalu.

1 Wafalme 4-8; 2 Mambo ya Nyakati 2- 7.