CSSA 2-1-18 - BAPTISED INTO MOSES
143. WAKABATIZWA WAWE WA MUSA
143. WAKABATIZWA WAWE WA MUSA
141. UFUNUO KWENYE KICHAKA
140. MUNGU AMLETA MKOMBOZI KWA AJILI YA ISRAELI
139. YUSUFU ANASHABIHIANA NA KRISTO
138. MITIHANI (MAJARIBU) NA USHINDI WA YUSUFU HUKO MISRI
137. YAKOBO ANAKWENDA UHAMISHONI NA KURUDI
136. YAKOBO, HAKI YA MZAWA WA KWANZA NA BARAKA
135. MKE KWA AJILI YA ISAKA
134. TUMAINI LA AHADI WALIZOPEWA MABABA
Tumejifunza maelezo ya historia ya maisha ya Ibrahimu. Na sasa tutaangalia mafundisho kutokana na ahadi kubwa na za thamani alizopewa mtu huyu mkubwa mwenye imani, na akapewa Isaka na Yakobo.
Kusudi la somo hili ni kuona umhimu wa ahadi hii kwa Ibrahimu ikiwa ni ya pili kati ya maagano matatu ambayo katika haya ndiyo msingi wa makusudi ya Mungu. Agano la kwanza lilifanyika katika bustani ya Edeni ambapo ahadi ilitolewa ya uzao wa mwanamke ambaye atashinda dhambi na kifo (Mwanzo 3:15).