348
348. KARAMU YA MWISHO NA GETHSEMANE
"Si mapenzi yangu,bali ako yatimizwe ..."
Jukumu la kwanza la Masihi lilikuwa kufa kwa ajili ya dhambi za dunia. Kufanya hivyo ilibidi kuchukua asili kama ya binadamu wote, ili aweze kujua na kushinda matamanio yake na madhaifu. Jukumu kama hili lilikuwa mzigo mkuu kwa Bwana na ilikuwa katika Gethsemane ambapo ilifikia kilele. Upendo wake mkuu ulionekana katika karamu iliotangulia.