338

338. UNAJISI NA UNAFIKI

"Kile kitokacho kinywani, ndicho kinanajisi binadamu"

Ukuu wa umaarufu wa Bwana ulikuwa umefika kwa kulisha watu 5,000. Kisha ikafikia hatua ya kugeuka kwa utoaji wa hotuba yake Kapernaumu ambayo iliwakasirisha wengi wa wanafunzi wake hivyo hawakutembea tena naye. Kufuatia tukio hili nguvu za upinzani zikaanza kujiunga.

337

337. KULISHA UMATI

"Mimi ni mkate wa uzima"

Watu elfu tano walilishwa na Bwana Yesu Kristo katika kingo za mashariki za mto Galilaya. Hakutoa chakula hiki kutosheleza njaa yao: kulikuwa na maana ya ndani ya kiroho ambayo alitaka wanafunzi wake na watu kwa jumla watambue: Alikuwa Mkate wa Uzima.  Wale ambao walielewa maana ya maneno yake na kumkubali kama mwokozi wangejiunga na yeye katika uzima wa milele.

336

336. MFANO WA MPANZI

"Tazama mpanzi alienda na kupanda mbegu . . ."

Neno la Mungu, linaonyesha mfano huu kama mbegu, bila dosari. Kama mbegu ingechukua mizizi na kukua na kuzalisha mbegu ilitegemea asili ya udogo ilipopandwa. Wakati tunapokea neno la Mungu katika nyoyo zetu ni lazima tuitunze kwa makini. Lazima tuhakikishe kwamba mvuto wa dunia na matatizo tunayokumbana nayo hayapingi ukuaji wa mbegu na kuizuia kuzaa matunda.

335

335. BETHESDA: UPONYAJI SIKU YA SABATO

"Inuka, chukua kitanda chako utembee"

334

334. MIUJIZA YA UPONYAJI KAPERNAUMU

"Na Yesu akamwonea huruma, akanyoosha mkono wake ..."

333

333. YESU ANAWAFUNZA WANAFUNZI WAKE JINSI YA KUOMBA

“Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe"

332

332. YESU ANAWAFUNZA WANAFUNZI WAKE

(b) Kanuni za Uanafunzi Zikifanya Kazi

“Kila asikiaye maneno haya na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye busara"

331

331. YESU ANAWAFUNZA WANAFUNZI WAKE

(a) Sifa za Heri—Picha ya mtakatifu "Akafunua kinywa chake na kuwafunza"

330

330. YESU ANAWAITA WANAFUNZI WAKE

"Kama mtu yeyote anataka kuwa mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe ..."

329

329. KUKUBALIKA KWA NJIA YA AJABU SAMARIA

"Yeyote atakaye kunywa maji ninayompa hataona kiu kamwe"