338
338. UNAJISI NA UNAFIKI
"Kile kitokacho kinywani, ndicho kinanajisi binadamu"
Ukuu wa umaarufu wa Bwana ulikuwa umefika kwa kulisha watu 5,000. Kisha ikafikia hatua ya kugeuka kwa utoaji wa hotuba yake Kapernaumu ambayo iliwakasirisha wengi wa wanafunzi wake hivyo hawakutembea tena naye. Kufuatia tukio hili nguvu za upinzani zikaanza kujiunga.