CSSA 3-1-266 - THE REVELATION AT THE BUSH
266. UFUNUO KICHAKANI
"Hii ni jina langu milele"
Tangu Musa atoke Misri, karibu miaka 40 ilikuwa imepita. Wana wa Israeli walikuwa katika utumwa mgumu sana na vilio vyao vilisikika na Mungu (Kutoka 2:24-25). Sasa wakati ulikuwa umefika kuanza maendeleo zaidi katika mpango wake kama ilivyotabiriwa katika Mwanzo 15:16.
Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi jina la Ukumbusho wa Mungu lilifafanua nia yake kuwaokoa watu wake na jinsi Yeye alipanga kulinda lengo lake.