CSSA 1-5-22 - PAUL DEFENDS THE TRUTH BEFORE AGRIPPA

122. PAULO ANAILINDA KWELI MBELE YA AGRIPA

“Na sasa ninasimama nihukumiwe kwa ajili ya tumaini la ahadi baba zetu waliyopewa na Mungu”

 

Shabaha

Kuonyesha jinsi Paulo alivyosimama imara katika kuihubiri Kweli na Mungu alivyotenda maishani mwake kumleta mtume huyo hadi Rumi ili aihubiri Injili kule pia.

 

Matendo ya Mitume 25:13 – 27; 26

 

MFALME AGRIPA NA BERNIKE WANAMTEMBELEA FESTO