CSSA 1-5-24 - PAUL ON MELITA
124. PAULO HUKO MELITA
“Watashika nyoka... wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”
Shabaha
124. PAULO HUKO MELITA
“Watashika nyoka... wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”
Shabaha
123. KUHARIBIKA KWA MELI IKIWAINAKWENDA RUMI
“Usiogope, Paulo, huna budi kusimama mbele ya Kaisari”
Shabaha
122. PAULO ANAILINDA KWELI MBELE YA AGRIPA
“Na sasa ninasimama nihukumiwe kwa ajili ya tumaini la ahadi baba zetu waliyopewa na Mungu”
Shabaha
Kuonyesha jinsi Paulo alivyosimama imara katika kuihubiri Kweli na Mungu alivyotenda maishani mwake kumleta mtume huyo hadi Rumi ili aihubiri Injili kule pia.
Matendo ya Mitume 25:13 – 27; 26
MFALME AGRIPA NA BERNIKE WANAMTEMBELEA FESTO
121. MFUNGWA KATIKA KAISARIA
“Mtu huyu hana tuhuma juu yake, inayostahili kifo au kifungo”
Shabaha
“Nipo tayari, siyo kufungwa tu, bali hata kufa katika Yerusalemu kwa ajili ya jina lake Bwana Yesu”
Shabaha
119. EUTIKO AKALALA USINGIZI MZITO
“Wakamleta yule kijana, yu mzima, wakafarijika faraja kubwa sana”
Shabaha
118. KWELI INAFIKA EFESO
“Siyo miungu, waliotengenezwa kwa mikono”
Shabaha
117. PAULO AKIWA KORINTHO
“Usiogope, bali nena, wala usinyamaze: Kwa kuwa mimi ni pamoja nawe...kwa maana mimi nina watu wengi katika mji huu”
Shabaha
116. PAULO AKIWA ATHENE
“Kwa maana, Mungu ameiweka siku, ambayo atakayowahukumu walimwengu kwa haki”
Shabaha
115. MUNGU ANAWAOKOA PAULO NA SILA KULE FILIPI
“Usiku wa manane Paulo na Sila walikuwawakimwomba na kumwimbia nyimbo za kumsifu Mungu”
Shabaha
Kuonyesha jinsi kweli ya Mungu ilivyobadilisha maisha ya mlinzi wa gereza na nyumba yake yote Matendo Mitume 16:23-40:
PAULO NA SILA WANATESEKA HUKU WAKISHANGILIA (mstari 23-25)