Correspondance Course - Lesson 04

INJILI

Somo la 4

Somo: Isaya 55

Habari Njema

Kila mtu anafurahi kusikia ‘habari njema’. Na hivi ndivyo hasa habari ya Injili ilivyo. Neno Injili maana yake ni “Habari Njema”

Vitabu vinne vya kwanza vya Agano Jipya mara nyingi vinaitwa ‘Injili’, kwa sababu ya habari njema iliyopo ndani yake. Ni habari njema inayomhusu Bwana Yesu Kristo. Alikuwa ni Mwana wa Mungu na alizaliwa na bikira Mariamu...

 

Correspondance Course - Lesson 03

Somo la 3

Somo: Zaburi 119:1 – 40

Madai ya Biblia

Biblia inadai kuwa ni Neno la Mungu; ni neno lenye ‘pumzi’ ya Mungu (2 Timotheo 3:16). Mungu aliwaongoza watu waliochangia kuiandika, kwa hiyo walichoandika ni ujumbe wake Mungu. Mara nyingi katika Agano la Kale, manabii wanasema: “Bwana Mungu anasema………”

How to use this Bible course - Lesson 01

                                                                                    SOMO LA 1                                             

MASOMO YA BIBLIA YA KIKRISTADELFIA KWA NJIA YA POSTA

 

NAMNA YA KUITUMIA KOZI HII YA BIBLIA

                          

 

 

SOMO: Zaburi 19