Correspondance Course - Lesson 44
Somo la 44
MAISHA YA KRISTO - Eklesia
Somo: 1 Timotheo 3
Wanaume na wanawake wanapobatizwa katika Kristo, wanakuwa watu wa Mungu, na kuwa sehemu ya familia yake. Mungu aliamuru kuwa wanawe wawe katika jumuia ya kiimani, na ametueleza wazi hili liweje. Amepanga kuwe na kundi moja au jumuia moja ya wafuasi kwa dunia nzima. Neno linasema: