Correspondance Course - Lesson 24
Somo la 24
KWA NEEMA MMEOKOLEWA
SOMO: Warumi 5
|
NEEMA Katika Biblia neema ya Mungu maana yake ni wema wa upendo wa Mungu kwa wanadamu. Ni kitu asichokistahili mtu, na ni zawadi ya bure kabisa inayotoka kwake. Neema hiyo inaeleweka vizuri zaidi katika kumtoa Bwana Yesu kwa ajili ya kutuokoa. (Utahitaji kulikumbuka hili vizuri unavyojifunza somo hili) |
