CSSA 3-3-309 - ELIJAH WARNS THE HOUSE OF AHAB

309.    ELIJAH AONYA NYUMBA YA AHAB

"Hakutakuwa na umande wala mvua miaka hii lakini kulingana na neno langu"

Katika kipindi cha miaka iliofuatia ugawanyikaji wa ufalme., historia ya makabila kumi ya kaskazini ilikuwa ni ile ya kuharibika, umwagikaji wa damu na mateso. Falme zote zilizofuata zilizidi kila moja kwa ukaidi- kwanza  Yeroboamu (1 Fal. 14: 9), kisha Omri (1 Fal.16:25). Na hatimaye Ahabu (1 Fal. 16:30).

CSSA 3-3-308 - DIVISION IN THE KINGDOM

308.    KUGAWANYIKA KWA UFALME

"Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo"

Dhambi ya Sulemani ilikuwa ya kuleta mateso mengi katika taifa. Upumbavu huu ulileta mgawanyiko na uadui ambao unaweza kuponywa wakati Yesu atakaporudi (Eze.37:22). Hilo lililetwa na mtu aliyewacha alama ya uovu katika historia ya Israeli na kujulikana kama mtu “aliyefanya Israeli kutenda dhambi” (1 Fal. 14:16). Jina lake lilikuwa Yeroboamu.

CSSA 3-3-305 - THE TEMPLE OF SOLOMON

305. HEKALU YA SULEMANI

" Nyumba ambayo ninajenga ni kubwa; kwani Mungu wetu ni mkuu wa miungu yote”

Daudi, Mfalme mashuhuri wa Israeli alitamani kujenga hekalu kwa jina la Bwana. Hili halikukubaliwa na Bwana na nafasi hii ilitunukiwa mwanawe Sulemani ambaye ufalme wake ulijulikana kwa amani, kujenga nyumba hii tukufu ambayo ilidumu kwa miaka 350 mpaka ilipoharibiwa na Nebukadreza.