CSSA 3-2-297 - DAVID IN EXILE

297. DAUDI UHAMISHONI

"Nilikulilia ewe Bwana; akasema, wewe ndiwe kimbilio na chakula changu"

 

Wivu wa Sauli ungetoshelezwa na kifo cha Daudi. Kama mfalme alitumia raslimali zake zote kumuua Daudi ambaye alilazimika kutoroka akihofia maisha yake. Miaka iliyofuata haikuwa na uhakika lakini Imani ya Daudi iliendelea kuimarika na alijifunza kumtengemea Mungu pekee. (Zab. 142:4-5).

CSSA 3-2-294 - DAVID—CHOSEN BY GOD

294. DAUDI—ALIYECHAGULIWA NA MUNGU

"Binadamu anatazama uzuri wa nje, lakini Mungu anaangalia roho"

 

Amri ya Mungu ya kuangamizwa kabisa kwa watu waMaleki haukusikilizwa na Sauli. Badala yake alifanya kulingana na mapenzi yake. Hakutambua kwamba Mungu anapenda moyo wa kumtumikia. Tabia aliyokuwa nayo Sauli katika utawala wake ilikuwa ni ile ya kutotii (1 Sam. 13:08, 9, 14) (15:16-23) kwa sababu hii alikataliwa kama mfalme wa Israeli.