CSSA 3-2-299 - FROM THE SHEEPCOTE TO THE THRONE
299. KUTOKA KATIKA NGOZI YA KONDOO HADI KITI CHA UFALAME
"Kisha mataifa yote ya Israeli wakaja kwa Daudi pale Hebroni"
"Kisha mataifa yote ya Israeli wakaja kwa Daudi pale Hebroni"
"Vita vikawa vikali upande wa Sauli"
"Nilikulilia ewe Bwana; akasema, wewe ndiwe kimbilio na chakula changu"
Wivu wa Sauli ungetoshelezwa na kifo cha Daudi. Kama mfalme alitumia raslimali zake zote kumuua Daudi ambaye alilazimika kutoroka akihofia maisha yake. Miaka iliyofuata haikuwa na uhakika lakini Imani ya Daudi iliendelea kuimarika na alijifunza kumtengemea Mungu pekee. (Zab. 142:4-5).
"Na Jonathani akanena wema wa Daudi kwa baba yake".
"Yahweh anaokoa sio kwa upanga na mkuki"
Waisrael waliwekwa mikononi mwa wafilisti kwa sababu ya maovu yao (Amu. 13:01) ukandamizaji huu wa Wafilisti uliendelea wakati wa Sauli. Kwa haya historia ya Daudi inaonekana akiwa kijana mwaminifu.
"Binadamu anatazama uzuri wa nje, lakini Mungu anaangalia roho"
Amri ya Mungu ya kuangamizwa kabisa kwa watu waMaleki haukusikilizwa na Sauli. Badala yake alifanya kulingana na mapenzi yake. Hakutambua kwamba Mungu anapenda moyo wa kumtumikia. Tabia aliyokuwa nayo Sauli katika utawala wake ilikuwa ni ile ya kutotii (1 Sam. 13:08, 9, 14) (15:16-23) kwa sababu hii alikataliwa kama mfalme wa Israeli.
"Kutii ni bora kuliko dhabihu, na kisikiza ni bora kuliko mafuta ya kondoo"
"Waonyeshe jinsi Mflame atakavyo watawala"
Neno la Samweli likawafikia waIsraeli wote