Correspondance Course - Lesson 54
SOMO LA 54
KUCHAGUA MCHUMBA
SOMO: 1 Wakorintho 7
Mungu alipokuwa akiwaumba watu, alimuumba kwanza mwanamume. Baada ya hapo alimuumba mwanamke kwa namna aliyoona inafaa, baada ya kuona haifai mwanamume awe peke yake (Mwanzo 2:18). Kwa hiyo mpango wa uumbaji ni wa mume na mke kuwa wamoja katika maisha yao yote.